http://footyroom.com/malaga-0-1-barcelona-2013-08/
Katika mechi nyingine za ligi kuu ya Uigerea maarufu kama Barclays Premier League vijana wageni wa ligi hiyo Cardiff City wamewachabanga mabingwa wa msimu wa 2011/2012 goli 3 kwa 2 huku mabao mawili ya cardiff city yakiamisha kimiani na Frazier Campbell 79' 87' huku jingine likifungwa na Gunnarsson (60')
na mabao ya Man city yakifungwa na Dzeko (52') Negredo (90')
http://footyroom.com/cardiff-city-3-2-manchester-city-2013-08
nao Totenham hotspurs wameendelea wimbi la ushindi baada ya kuwafunga Swansea City goli lililopatikana kwa mkwaju wa penati ukifungwa na Soldado http://footyroom.com/tottenham-hotspur-1-0-swansea-city-2-2013-08/
No comments:
Post a Comment