Monday, September 2, 2013

MBEYA HERE WE GO

We are proud to announce the launch of our new domestic route between Dar es Salaam and Mbeya! .....official website stated that

Over the last few months, the local government and airport authorities have worked extremely hard to make improvements to the airfield at Songwe airport, in partnership with fastjet. There have been vast improvements made to infrastructure and the runway, allowing us to land our Airbus A319 safely at Mbeya.
As a result, we are very pleased to be able to add this route to our domestic flight schedule within Tanzania!
We’ve had a huge demand from customers to add flights to Mbeya to our schedule, and we would like to thank the government, airport authorities, and all the people involved in making the necessary improvements to Songwe airport to make this new route possible.

fastjet will be flying between Dar es Salaam and Mbeya three times a week, with the first flight taking off on 1st November. Tickets will start from just TSh32,000 (excluding tax and charges). 

You can book flights on this new route now at www.fastjet.com - the earlier you book, the lower your fare! Alternatively, you can pay through mobile (m.fastjet.com) or at our fastjet sales office (+255 767 007903).  Book now and discover a new destination with fastjet today.

Mesut Ozil kupewa namba 11 Arsenal


more news to follow

Mesut Ozil atua Arsenal

Mesut Ozil Kunako siku ya mwisho kwa vilabu vya mpira wa miguu kukamilisha usajili wa wachezaji klabu ya Arsenal imeafikiana na mchezaji Mesut Ozil wa Ujerumani anayechezea klabu ya Real Madrid kwa kitita cha pauni za Uingereza milioni £42.4.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, klabu ya Arsenal imekubaliana na Real Madrid kuilipa pauni za Uingereza milioni £42.4m sawa na Euro milioni 50 kumsajili Mjerumani Mesut Ozil.
Kijana huyo menye umri wa miaka 24 amefikia makubaliano na Arsenal kuhusu maslahi yake binafsi ingawa sharti apitie mchakato wa vipimo vya afya yake kabla ya Arsenal kukamilisha usajili ambao katika historia ya klabu hio haujawahi kufanyika kumsajili mchezaji kwa zaidi ya pauni milioni 22.
Mesut Ozil wa Ujerumani
Kwa wakati huu Ozil yuko pamoja na kikosi cha Timu ya Taifa ya Ujerumani na itabidi afanyiwe vipimo huko huko Ujerumani.
Kwa kipindi cha msimu wa likizo na usajili wa wachezaji Arsenal imeshindwa kuwasajili wachezaji wa kiwango anachokitaka Arsene Wenger kama mshambuliaji wa Liverpool Luis Suarez na Gonzalo Higuain, mchezaji mwingine aliyekua huko Real Madrid.
Lakini kwa sasa yumkini Ozil anaelekea uwanja wa Emirates kufuatia usajili wa Gareth Bale kwa kitita kikubwa cha pauni milioni 85.3.
Kabla ya kujiunga na Real Ozil alikua akichezea klabu ya Werder Bremen alikosajiliwa na Real kwa takriban pauni milioni 12.4 na kuichezea Real mara 155.
Wakati Arsenal ikijitahidi kusajili kabla ya dakika ya mwisho ya shughuli ya usajili Liverpool pia imetiliana saini na Mamadou Sakho na Tiago Ilori kwa jumla ya pauni milioni 25.
Sakho mwenye umri wa miaka 23 ameichezea Timu ya Taifa ya Ufaransa mara 14 France na amegharimu pauni milioni £18m kutoka klabu ya Paris St-Germain.
Ilori alizaliwa mjini London na ameiwakilisha Timu ya Ureno ya vijana ingawa bado anaweza kuiwakilisha England.
Liverpool haikuishia hapo ila imemzoa Mnaijeria Victor Moses kutoka Chelsea.
Mshambuliaji huyo alifunga mabao 10 akishiriki mechi 42 za Cheslea lakini amekabiliwa na ushindani mkali wa kuweza kuingia uwanjani kufuatia usajili wa mcheza kiungo kutoka Brazil Willian, Mjerumani Schurrle pamoja na mkongwe wa Cameroon Samuel Eto'o.

NEW VIDEO; DIAMOND... NUMBER ONE




 
fuata link kuona video